EMAIL US AT info@cslso.or.tz
CALL US NOW +255 767 710 320
DONATE NOW

SHIRIKA LA CLARIFY YAANDAA KIKOSI

 Shirika lisilo la kiserikali Clarify yaendesha mafunzo mjin Geita kuandaa wafanya biashara kufanya biashara yenye tija. Akiongea Mtaalam wa masuala ya kodi wakati wa mafunzo hayo CPA Sadick Kassimu Rutenge amesema sasa serikali imeweka mazingira mazuri kwa mfanya biashara.