EMAIL US AT info@cslso.or.tz
CALL US NOW +255 767 710 320
DONATE NOW

MAFUNZO KWA AKINA MAMA WAJASILIAMALI

Katika kuwaendeleza wajasiliamali akina mama mkoa wa Geita, Benk ya CRDB ikishirikiana na chama cha wanawake wajasiliamali TWCC na chama cha wafanya biashara TCCIA  wameandaa mafunzo kwa ajiri ya wafanya biashara wanawake Mkoa wa Geita.