EMAIL US AT info@cslso.or.tz
CALL US NOW +255 767 710 320
DONATE NOW

EDUCATION

SHIRIKA LA CLARIFY YAANDAA KIKOSI

 Shirika lisilo la kiserikali Clarify yaendesha mafunzo mjin Geita kuandaa wafanya biashara kufanya biashara yenye tija. Akiongea Mtaalam wa masuala ya kodi wakati wa mafunzo hayo CPA Sadick Kassimu Rutenge amesema sasa serikali imeweka mazingira mazuri kwa mfanya biashara.

Read More

NBC FURSA PANA KWA WACHIMBAJI WADOGO

Akifungua Mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya wa Geita katika ukumbi wa EPZ Mkoan GEITA, Mkuu wa wilaya amewakaribisha wachinmbaji wote mkoan Geita kutumia fursa hiyo kwa kuitumia vzur bank ya NBC kuongeza mitaji yao kunufaika zaidi.

Read More

MAFUNZO KWA AKINA MAMA WAJASILIAMALI

Katika kuwaendeleza wajasiliamali akina mama mkoa wa Geita, Benk ya CRDB ikishirikiana na chama cha wanawake wajasiliamali TWCC na chama cha wafanya biashara TCCIA  wameandaa mafunzo kwa ajiri ya wafanya biashara wanawake Mkoa wa Geita.

Read More

MALI ASILI

 Mara ufikapo Tanzania, hivi ni mojawapo ya vivutio ambavyo utakutana navyo. Tuvitunze vidumu ili uwe urithi wetu wa sasa na wa baadae

Read More

MALI ASILI

 Hii ni fahari ya Tanzania. Tunapaswa kuwatunza na kuwalinda wanyama hawa wasijepotea kama Mijuzi mirefu na Tendagulu.

Read More

MAINTAIN, MAKE IT HAPPEN, MAKE THE WORLD GREEN

Je wajua? Wanyama hawana maduka ya kununua vyakula wala vinywaji: Wanyama hutegemea uoto wa asili na ule ulotunzwa na wanadamu kwa ajili ya maisha yao. Binadamu tumepewa uwezo na akili za utambuzi kiasi kwamba tunaweza kuwa msaada kwa viumbe wengine au kuwa kikwazo kwa maisha ya viumbe wengine. Tunapaswa kutunza

Read More

12