EMAIL US AT info@cslso.or.tz
CALL US NOW +255 767 710 320
DONATE NOW

Uncategorized

MH. MAJALIWA KWA MAGUFULI

Katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge zilizo fanyika Wilaya ya Chato Mkoani Geita, Mh. Kassimu Majaliwa akiwa ameambatana na viongozi mbali mbali wa serikali wamelitembelea kaburi la aliye kuwa Raisi wa JMT Dr. John Magufuli Wilayani Chato.

Read More

WAZIRI MKUU KWENYE WIKI YA VIJANA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassimu Majaliwa Majaliwa akiwa Katika uzinduzi wa wiki ya vijana amewaasa vijana kuwa, waachane na fikra za kusema kuwa vijana ni Taifa la kesho maana kamwe kesho haijawahi kufika bali vijana ni Taifa la leo. Na ndiyo maana serikali ya Mh.Samia

Read More

MKAKATI WA KUKUZA UELEWA WA KODI KATIKA SEKTA YA MADINI

TRA MKOA WA GEITA ni moja wapo ya taasisi iliyoweka Jukwaa lake katika Maonesho ya Teknolojia ya Uchenjuaji wa Madini Mkoani Geita. Akiongea Mh. CPA. Mtafya Lutufyo anawakaribisha wafanya biashara wote katika banda hilo ili waweza kupata Elimu ya Kodi. Pia ameongeza kuwa wamejipanga kutoa elimu ya utozaji wa kodi

Read More

MAFUNZO YA UJASILIAMALI

Akiongea na Meneja wa NDY GARMENTS, Mh. Joeseph C. Msenye amesema mafunzo hayo yatawahusisha watu 400 kutoka maeneo mbali mbali Mkoani Geita kwa  kipindi cha miezi 6 kwa mwaka 2021 BONYEZA LINK YA MAFUNZO 

Read More

NGO TOVUT (WEBSITE) PENDWA

Akitoa uwasilishaji katika kikao cha maandalizi ya robo Mwaka Admin wa Tovuti hiyo Mh. SADICK KASSIM RUTENGE amewaeleza wanahabari kuwa kwa sasa tovuti ya www.cslso.or.tz ni tovuti pendwa yenye wastan wa watazamaji (Viewers) hadi kufikia 10 milion kwa mwezi kutoka sehem mbali mbali duniani. Mh. Rutenge ameendelea kuwakaribisha watazamaji kuendelea

Read More

HOW HUMAN ACTIVITIES DESTROY ENVIRONMENT

The  Photo was taken from Gengesaba near by Nyarugusu Geita Region where human activities contributes to environmental degradation. Community serve and life survival organization (CSLSO) is taking initiative to restore the degraded environment to its origin situation

Read More